Qiraa ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya watu walihudhuria mahafali ya kusoma Qur’ani Tukufu iliyofanyika Bangladesh ambapo qari wa Misri Mahmoud Kamal al-Najjar alisoma aya za Kitabu kitakatifu.
Habari ID: 3476667 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/06